Jeremiah 50:2


2 a“Tangazeni na mhubiri katikati ya mataifa,
twekeni bendera na mkahubiri;
msiache kitu chochote, bali semeni,
‘Babeli utatekwa;
Beli ataaibishwa,
Merodaki atajazwa na hofu kuu.
Sanamu zake zitaaibishwa
na vinyago vyake vitajazwa hofu kuu.’
Copyright information for SwhKC